“Unajua mi nashangaa sana watu
wanatoa wapi maneno wanayoandika, mimi sina tatizo na Wema, wala siwezi
kuwa na tatizo naye, wema amekuwa msaada mkubwa kwangu, sa sijui
nitagombana nini na wema, huo ni uzushi tuu jamani, muwe mnatuuliza
kabla ya kuandika” Alisema kajala
Alipoulizwa kuhusu ukaribu wake mpya na wolper alisema
“Wolper nimekutana naye kwenye party
ndo tukaamua kupiga picha, au siku hizi sitakiwi kupiga picha na mtu
mwingine zaidi ya wema? Wolper ni rafiki yangu”
No comments:
Post a Comment