
Mwigizaji aliyerudi uraiani hivi karibuni Kajala Masanja amefanya
mabadiliko makubwa ya mtindo wake wa nywele baada ya kunyoa kipara
“kikavu” kichwani mwake.
Amesema hii ni kutokana na kushoot movie yake mpya ndo mana imembidi anyoe kipara maana inamlazimu kuonekana hivyo ndani ya Filamu hiyo.
Itaitwa Heart attack
No comments:
Post a Comment