Katibu
Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Meja Jenerali Gaudence S.Milanzi
akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi
Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Naibu wakatibu wakuu iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Jaji Meja Jenerali Projest
A.Rwegasira akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi
Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Naibu wakatibu wakuu iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment