Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na
maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akiwasili Makao Makuu ya Shirika
la Nyumba la Taifa NHC Upanga jijini Dar es salaam huku akilakiwa na
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo Ndugu Nehemia Mchechu wakati waziri
huyo akiwa katika ziara yake ya kujifunza na kusikiliza Changamoto na
mafanikio mbalimbali yaliyofikiwa na shirika hilo.
No comments:
Post a Comment