Baadhi ya siraha zilizokamatwa.
Matukio ya watu kuporwa pesa kisha kuuawa na majambazi yatikisha,
bodaboda zadaiwa kuwa tatizoLicha ya shamrashamra za kusherekea kuuona
Mwaka Mpya wa 2016, siyo siri kwamba maisha ya Watanzania hayako salama
tena, wameanza kuishi kwa hofu kubwa kufuatia matukio ya mauaji ya raia
wema ambayo yamekuwa yakifanywa na majambazi nchini kote kwa kutumia
pikipiki na watu kuuawa au kujeruhiwa kwa kupigwa risasi.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment