Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa,
Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akifanya mazungumzo na Balozi wa Qatar
Mhe. Abdullah Jassim Almaadadi alipofika Wizarani kwa ajili ya
kumpongeza kwa kuteuliwa katika wadhifa wake mpya na pia kumhakikishia
ushirikiano kati ya Tanzania na Qatar. Mazungumzo hayo yalifanyika
tarehe 30 Desemba, 2015.
No comments:
Post a Comment