05 December 2015

RAIS MAGUFULI NA WAZIRI MKUU WATOA MAJINA HADHARANI YA VIGOGO WALIOIFILISI NCHI..HII ORODHA INATISHA

Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) imetaja majina ya kampuni 43 na wamiliki wa makontena 329 ambayo yalipitishwa bandarini bila kulipiwa na kufichuliwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wiki iliyopita.
Aidha, TRA imesema imesimamisha kazi watumishi wake 35 wanaofanya kazi katika ngazi mbalimbali, wakiwemo 27 waliokamatwa wiki hii katika Geti Namba Tano.  


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname