BAADA ya Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa kufanya ziara ya kushitukiza
katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kubaini upotevu wa Makontena
329, mapya yaibuka kwa Makampuni 43 kuhusika kukwepa kodi ya Sh.Bilioni
12.6 katika Bandari Kavu inayomilikiwa na Said Salim Bakhressa.
No comments:
Post a Comment