Hivyo ndivo linavosomeka gazeti la WEMBE, huenda ameback fire ile kauli
ya Gwajima aliodai hakuwahi kumuunga mkono ilhali hata mwendawazimu
hahitaji evidence ili ajue Gwajima ni muongo au ni mkweli.
Kweli magufuli kaleta kiwewe, MTU akifikria anatembelea hammer,
helkopter, anaishi kwenye mahekalu, imebidi kujipendeza najua ushaelewa
kinacholindwa hapo
No comments:
Post a Comment