.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph
Warioba amesema nchi haiwezi kuwa na mabadiliko ya kweli, kama miiko na
maadili ya viongozi havitaingizwa kwenye Katiba Mpya.
Akizungumza
baada ya kukabidhiwa tuzo ya maisha ya utumishi wa umma uliotukuka
juzi, Warioba alisema kwa miaka mingi akishirikiana na rafiki zake,
walijaribu kuleta mabadiliko makubwa katika jamii, bila mafanikio.
No comments:
Post a Comment