MKUU
wa Mkoa wa Katavi, Dk Ibrahim Msengi amewasimamisha kazi maofisa
waandamizi 11 wa Manispaa ya Mpanda akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wake,
Suleiman Lukanga kwa ukiukwaji wa sheria za manunuzi kwa kufanya
ubadhirifu fedha zaidi ya Sh milioni 92.8.
No comments:
Post a Comment