Vigogo
na watu wakubwa wenye ushawishi serikalini wakishirikiana na baadhi ya
wafanyabiashara wametajwa katika orodha aliyokabidhiwa Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa, kama wahusika wakuu wa kupitisha kinyemela makontena
takribani 2,780 na kukwepa kodi inayokadiriwa kuzidi Sh bilioni 600.
No comments:
Post a Comment