YANAYOJIRU BUNGENI MUDA HUU.CHENGE MWENYEKITI WA MUDA,
Bunge
la 11 la Jamhuri ya Muungano linaanza leo Dodoma kwa kusomwa Tangazo la
Rais la Kuitisha Bunge, uchaguzi na Kiapo cha Spika, Kiapo kwa wabunge
woteMuda
huu tayari wabunge wameanza kuwasili kwenye viwanja vya Bunge na wengi
wamo kantini hapa wakipata staftahi kabla ya kuingia rasmi ukumbini.
Update.
Wabunge
wengi wanaingia bungeni now harakaharaka maana mida wowote Kikao
kitaanza. Changamoto iliyopo ni kuwa.baadhi ya wabunge hasa wapya
wamevaa mavazi ambayo sio ya kibunge jambo ambalo ni kinyume na kanuni.
Labda ugeni utawaokoa wasitolewe nje
Updates
Katibu
wa Bunge Dr Kashililah ndio anaanza kwa kusoma tangazo la Rais kuitisha
bunge la 11. Mkutano wa uchaguzi unaanza na Andrew chenge anateuliwa
kuwa mwenyekiti wa muda kuongoza uchaguzi wa spika. Chenge kaingia na
uchaguzi unaanza kwa wagombea kuitwa kujieleza
Updates
Wagombea
wote wameruhusiwa kuingia ndani na wameingia ukumbini isipokuwa Hashim
Runngwe ingawa hajajitoa hivyo anaruhusiwa kupigiwa kura bado
Updates
Wagombea wametoka nje na wanaitwa mmojammoja kujieleza kwa dakika tatu na maswali matatu kama yapo
No comments:
Post a Comment