RAIS MAGUFULI AIFUMUA IKULU,AIPANGA UPYA KWA KUPUNGUZA OFISI NA WATENDAJI
Rais
John Magufuli amezifumua na kuziunda upya baadhi ya ofisi za Ikulu ya
Magogoni, Dar es Salaam pamoja na kuwaondoa baadhi ya watumishi ambao
hawana ulazima katika mfumo wa utumishi wa Ikulu.
No comments:
Post a Comment