MGONJWA ALIYETIBIWA NA RAIS MAGUFULI KUFANYIWA UPASUAJI WIKI IJAYO
Mgonjwa
aliyeahidiwa matibabu na Rais John Magufuli, Chacha Makenge amefanyiwa
uchunguzi na majibu ya kipimo cha MRI na sasa anasubiri upasuaji katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
No comments:
Post a Comment