18 November 2015

MWIGULU LAMECK NCHEMBA AZUA GUMZO KUBWA WAKATI AKIAPA BUNGENI TAZAMA HAPA LIVE

Mwigulu Lameck Nchemba Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi akiapa mbele ya Spika Job Ndugai.
Mwigulu Lameck Nchemba Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi amezua gumzo Bungeni katika kikao cha Bunge la 11 kilichoketi leo asubuhi wakati Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai akiwaapisha wabunge wateule kuwa wabunge rasmi.  

BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname