19 November 2015

CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!! Wamuuliza Dr Tulia Alijiunga Lini CCM...Je Lowassa na Duni Haji Alijiunga Lini Chadema ?


 Lowassa‬ aliingia CHADEMA saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# CHADEMA.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia CHADEMA Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo CHADEMA wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname