14 November 2015

Breaking News: Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoani GEITA Auawa Kinyama Kwa Kukatwa na Mapanga na Shoka Wakati Akifanya Kampeni za Kumnadi Diwani Wake

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo ameuawa leo mjini Katoro baada ya kushambuliwa kwa mapanga na shoka na kumjeruhi vibaya sehemu mbalimali za mwili wake hasa kichwani wakati akifanya kampeni za kumnadi diwani wake  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname