Breaking News: Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoani GEITA Auawa Kinyama Kwa Kukatwa na Mapanga na Shoka Wakati Akifanya Kampeni za Kumnadi Diwani Wake
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo ameuawa leo mjini Katoro baada ya kushambuliwa kwa mapanga na shoka na kumjeruhi vibaya sehemu mbalimali za mwili wake hasa kichwani wakati akifanya kampeni za kumnadi diwani wake
No comments:
Post a Comment