Enzi za uhai wake, Alphonce Mawazo.
Geita. Mji
wa Geita umezizima kwa simazi, vilio na majonzi baada ya aliyekuwa
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kuuawa kinyama kwa
kushambuliwa na silaha za jadi ikiwamo kukata kichwa kwa shoka.
Wananchi na wafuasi wa Chadema walifurika katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Wilaya ya Geita, wakionekana wenye nyuso za huzuni.
Mawazo (pichani) alifariki dunia baada ya kudaiwa kutekwa na kundi la watu hao wanaosadikika kuwa ni wafuasi wa chama kimoja cha siasa wakiwa na marungu, mapanga na shoka.
Wananchi na wafuasi wa Chadema walifurika katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Wilaya ya Geita, wakionekana wenye nyuso za huzuni.
Mawazo (pichani) alifariki dunia baada ya kudaiwa kutekwa na kundi la watu hao wanaosadikika kuwa ni wafuasi wa chama kimoja cha siasa wakiwa na marungu, mapanga na shoka.
No comments:
Post a Comment