Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Inspekta Jenerali wa Polisi IGP
Ernest Mangu alipowasili Chuo Kikuu cha Mafunzo ya Polisi Kurasini
jijini Dar es salaam leo Oktoba 20, 2015 tayari kukabidhi magari 399
kati ya 777 yanayoletwa kwa ajili ya kusaidia utendaji kazi wa jeshi la
polisi.
Wimbo
wa Taifa katika sherehe za kukabidhi magari 399 kati ya 777 yanayoletwa
kwa ajili ya kusaidia utendaji kazi wa jeshi la polisi.
No comments:
Post a Comment