Mgombea
Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kupitia mwamvuli
wa Ukawa, Mhe Edward Lowassa akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza
lenye mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti Mwenza wa umoja huo, Dk. Emmanuel
Makaidi wakati wa ibada ya kuuaga iliyofanyika viwanja vya Karimjee Dar
es Salaam leo mchana. Katika ibada hiyo viongozi mbalimbali wa vyama vya
siasa na serikali walihudhuria.
No comments:
Post a Comment