Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi
kuzindua mradi wa kusaga kokoto uliopo katika kijiji cha Pongwe Msungura
Wilayani Bagamoyo leo. Kulia ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga
Taifa Dkt.Hussein Mwinyi, Wapili kulia, ni Mkuu wa Jeshi la Kujenga
Taifa Meja Jenerali Raphael Muhuga,wapili kushoto ni Balozi wa Uturuki
nchini Mhe.Yasemin Eralp, watatu kushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa
kampuni ya ANIT ASFALT Bwana Semih Yaran, na wanne kushoto ni Mkuu wa
Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo.
No comments:
Post a Comment