Mwenyekiti
wa Kamati ya Taifa Stars iliyoteuliwa hivi karibuni na Shirikisho la
Mpira wa Miguu nchini (TFF) Bwana Farough Baghozah leo hii amekutana na
waandishi wa habari katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam na
kuitambulisha rasmi kamati hiyo.
No comments:
Post a Comment