VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vitasitisha
kampeni zake ngazi zote kesho tarehe 20 Oktoba kutoa fursa kwa wananchi
kuaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti mwenza, Dk. Emmanuel Makaidi.
Anaandika Charles William …
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment