05 October 2015

HIVI NDIVYO DKT MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA WILAYANI BABATI MKOA WA MANYARA


 Mkutano wa hadhara wa kampeni wa Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli ukiendelea katika uwanja wa Kwaraha,wilayani Babati mkoani Manyara jioni ya leo,ambapo umati mkubwa wa watu ulijitokeza kusikiliza sera zake.PICHA NA MICHUZI JR-BABATI,MANYARA.
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname