Mkimbizi
kutoka Burundi, Philipo Nyandungulu, akishuka kutoka kwenye basi baada
ya kuwasili katika kambi ya
wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko Kasulu mkoani Kigoma. Idadi ya wakimbizi kutoka Burundi imekuwa ikiongezeka siku hadi siku
na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa kushirikiana na Shirika
la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Wakimbizi (UNHRC) imekuwa ikiwahifadhi kwa
muda katika kambi hiyo.
Baadhi ya wakimbizi kutoka nchini Burundi, wanaohifadhiwa
katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma, wakiwapokea
wakimbizi wenzao (hawapo pichani) waliowasili jana kwa basi kwa ajili ya
kuhifadhiwa katika kambi hiyo.
No comments:
Post a Comment