17 September 2015

UJUE UKWELI WA EDWARD LOWASSA KUKIMBIA MIDAHALO YA URAIS

Lowassa na Magufuli
Vyama vyote vya siasa vimekubali kufanya mdahalo wa wagombea wa Urais kwenye vyombo vya habari lakini vyama vinavyounda UKAWA vimekataa
kushiriki kwenye midahalo hiyo kwa kutoa sharti moja la kutomshirikisha mgombea wao na badala yake waende wenyeviti wa vyama. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname