16 September 2015

UFUNGUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI CCM GOMBANI YA KALE PEMBA


1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wa Ufunguzi wa kampenzi za CCM zilizofanyika leo katika uwanja wa Gimbani yakale Wilaya ya chakechake Pemba,
PICHA ZOTE NA IKULU.
5
Mgombea Urais kwa kipindi cha pili Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akionesha ilani ya chama wakati wa Mkutano wa Hadhara wa ufunguzi wa Kampeni za Chama hicho katika Uwanja wa Gombani ya kale Wilaya ya Chakechake Pemba leo.
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname