Ratiba
za kampeni za wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
wanaoonekana kuchuana vikali, Edward Lowassa kupitia Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuungwa mkono na vyama vinavyounda
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Dk. John Magufuli wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM), zimeibua mgongano.
Hali
hiyo imelalamikiwa na CCM ambayo imeitupia lawama Tume ya Taifa ya
Uchaguzi (Nec) kwamba imeshirikiana na Chadema kupanga njama hizo.
Kufuatia hali hiyo, jana Nec iliingilia kati na kuitisha kikao cha kupitia upya ratiba za kampeni za vyama.
BOFYA HAPA KUSOMA YOTE
Kufuatia hali hiyo, jana Nec iliingilia kati na kuitisha kikao cha kupitia upya ratiba za kampeni za vyama.
BOFYA HAPA KUSOMA YOTE
No comments:
Post a Comment