08 September 2015

MUME AMCHARANGA MAPANGA MKEWE KISA WIVU WA MAPENZI

 
Ashura Ramadhani anayedaiwa kucharangwa mapanga na mumewe.
Na Haruni Sanchawa
WIVU! Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Abdallah, mkazi wa Gongo la Mboto, Ilala jijini Dar es Salaam, anadaiwa kumkatakata kwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili mkewe Ashura Ramadhani kwa kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Chanzo cha kuaminika kililiambia gazeti hili juzi kuwa Abdallah baada ya kufanya unyama huo, alikimbilia kusikojulikana na jeshi la polisi linamtafuta ili akabiliane na sheria.  


BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI ZINATISHA

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname