08 September 2015

DK.SLAA ATIMKIA MAREKANI,NYUMBA ITALINDWA NA POLISI ..MAZUNGUMZO YAKE YOTE HAYA HAPA

 
 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dk. Willibrod Slaa amesema anakwenda Marekani pamoja na familia yake kwa mapumziko.Hata hivyo, taarifa zinasema Dk. Slaa amekwishandoka nchini kuelekea Marekani pamoja na familia yake tangu jana jioni.Huku akiwa Marekani kupumzika na kujiendelea katika kozi fupi katika tasnia ya Sheria na Lugha, Dk. Slaa amesema nyumba yake itakuwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi.  

BOFYA HAPA KUSIKILIZA LIVE

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname