19 September 2015

MKUTANO WA KAMPENI ZA CCM JIMBO LA KONDE KASKAZINI PEMBA


1
Naibu katibu Mkuu wa CCM ZanzibarVuai Ali Vuai akizungumza na wanaCCM na Wananchi wa Jimbo la Konde Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba leo katika Mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Octoba mwaka huu,mkutano huo umefanyika katika uwanja wa mpira wa Konde,
Picha zote na Ikulu.
3
Rais wa Zanzibar na  Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein  akizungumza na wanaCCM na Wananchi wa Jimbo la Konde Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba leo katika Mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Octoba mwaka huu,mkutano huo umefanyika katika uwanja wa mpira wa Konde,
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname