Naibu katibu Mkuu wa CCM
ZanzibarVuai Ali Vuai akizungumza na wanaCCM na Wananchi wa Jimbo la
Konde Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba leo katika Mkutano wa
kampeni za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Octoba mwaka
huu,mkutano huo umefanyika katika uwanja wa mpira wa Konde,
Picha zote na Ikulu.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali
Mohamed Shein akizungumza na wanaCCM na Wananchi wa Jimbo la Konde
Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba leo katika Mkutano wa
kampeni za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Octoba mwaka
huu,mkutano huo umefanyika katika uwanja wa mpira wa Konde,
No comments:
Post a Comment