Mgombea Urais wa Jamhuri ya
Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli
akiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Colner PaStor mwalimu
aliyemfundisha katika shule ya msingi ya Chato, Dk. Magufuli alionekana
mwenye huzuni kutokana na kifo cha mwalimu wake huyo wakati alipohani
msiba huo katika kijiji cha Nyakatuntu wilayani Biharamulo mkoani
Kagera.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-BIHARAMULO)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya
Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli
akimfariji mama Paskazia Mufuruki mjane wa Marehemu mwalimu Colner
Pastor wakati alipohani msiba huo katika kijiji cha Nyakatuntu wilayani
Biharamulo loe
No comments:
Post a Comment