19 September 2015

DR. JOHN POMBE MAGUFULI AHANI MSIBA WA MWALIMU WAKE MAREHEMU COLNER PASTOR KIJIJI CHA NYAKATUNTU BIHARAMULO


01
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Colner PaStor mwalimu aliyemfundisha katika shule ya msingi ya Chato,  Dk. Magufuli alionekana mwenye huzuni kutokana na kifo cha mwalimu wake huyo wakati alipohani msiba huo katika kijiji cha Nyakatuntu wilayani Biharamulo mkoani Kagera.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-BIHARAMULO)
1
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akimfariji mama Paskazia Mufuruki mjane wa Marehemu mwalimu Colner Pastor wakati alipohani msiba huo katika kijiji cha Nyakatuntu wilayani Biharamulo loe
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname