22 September 2015

MAMBO 5 AMBAPO LOWASSA AKIANGUKA


WAKATI siku 32 zikiwa mbele kuufikia uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu, tegemeo kuu la mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ni kutokea kwa mambo matano endapo ataanguka kwenye kinyang’anyiro hicho, Uwazi limechimba. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname