
Mgombea
wa nafasi ya urais kwa tiketi ya Chadema huku akiungwa mkono na vyama
vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA, Mh Edward Lowassa
ameingia mkoani Mtwara kwa kishindo na kupokelewa na maelfu ya wakazi wa
mkoa huo.
Jumatatu tulivu ya sept 21, mji wa Mtwara na viunga vyake vyote ulizizima ambapo shughuli nyingi tu zikisitishwa huku wao nao wakiamini kuelekea Oct 25, sauti bado ni moja tu.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Jumatatu tulivu ya sept 21, mji wa Mtwara na viunga vyake vyote ulizizima ambapo shughuli nyingi tu zikisitishwa huku wao nao wakiamini kuelekea Oct 25, sauti bado ni moja tu.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment