22 September 2015

LOWASSA AANIKA UKWELI KUHUSU GESI YA MTWARA YAMPA KURA


Mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya Chadema huku akiungwa mkono na vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA, Mh Edward Lowassa ameingia mkoani Mtwara kwa kishindo na kupokelewa na maelfu ya wakazi wa mkoa huo.
Jumatatu tulivu ya sept 21, mji wa Mtwara na viunga vyake vyote ulizizima ambapo shughuli nyingi tu zikisitishwa huku wao nao wakiamini kuelekea Oct 25, sauti bado ni moja tu. 


BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname