22 September 2015

Magufuli Alalamika Kuhujumiwa: Asemna Kuna WanaCCM Wanamuunga Mkono Mchana, Ikifika Usiku Wanawaunga Mkono Wapinzani

Hatimaye mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ameibuka hadharani na kuzungumzia tatizo la kuwapo kwa baadhi ya wafuasi wa chama chake kumhujumu kwa kuunga mkono harakati za upinzani.

BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname