
Amekutaja
na kukusema kimafumbo, Prof. Lipumba wa CUF, umekaa kimya. Hukutoka
kujibu. Akakusema kimafumbo rafikiyo pale Viwanja vya Jangwani kwenye
ufunguzi wa kampeni zetu, ukanyamaza. Alikuita kuwa una
makandokando.Amekutaja Dr. Slaa aliyekuwa CHADEMA na kukutupia makombora
ya hasara lakini umekaa kimya.
No comments:
Post a Comment