12 September 2015

LOWASSA AWASILI SINGIDA LEO,APIGA KAMPENI JIMBO LA IRAMBA


  
MGOMBEA wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Edward Lowassa ambaye anaungwa mkono na Vyama vinavyounda UKAWA Amezidi litikisa Taifa,
Baada ya leo Kuutikisa mkoa wa Singida na Viunga Vyake huku mkoa huo,shughuli zote zikiwa zimesimama ili kumpokea lowassa,kama ambayo unaona kwenye picha hizo

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname