14 September 2015

HIVI NDIVYO BAUNSA WA MZEE YUSUFU ALIVYOPIGWA RISASI

 
Jamaa maarufu kwa jina la Hassan Baunsa Mayasa Mariwata na Gabriel Ng’osha HATARI! Jamaa maarufu kwa jina la Hassan Baunsa ambaye ni baunsa wa mwanamuziki wa Taarab Bongo, Mzee Yusuf ‘Mfalme’, amenusurika baada ya kupigwa risasi na shabiki aliyefahamika kwa jina mmoja la Kev, Ijumaa Wikienda lina mkanda kamili. 

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname