14 September 2015

Gharika ya watu yashuhudia uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM za kugombea urais wa Zanzibar


Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja kwa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mama Fatma Karume  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015http://jmabula.blogspot.com/2015/09/gharika-ya-watu-yashuhudia-uzinduzi.htmlsoma zaidi

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname