21 September 2015

EMMANUEL MBASHA AACHIWA HURU KESI YA UBAKAJI

Mahakama ya Ilala, Dar imemwachia huru Emmanuel Mbasha leo Jumatatu Septemba 21, 2015 baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha kosa la ubakaji dhidi yake.Itakumbukwa mwaka 2014 Emmanuel Mbasha ambae ni mwimbaji wa injili na mfanyabiashara alifunguliwa mashataka mawili mahakama ya Ilala kwa makosa mawili ikiwemo la ubakaji.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname