Mwenyekiti
Msaidizi wa Tamasha la MAMA ONGEA NA MWANAO 2015 litakaloipigia kampeni
CCM, Wema Sepetu akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam juu
ya tamasha na kampeni zao. Kulia ni Yobnesh Yusuph (Batuli) na kushoto
ni Steve Mengele a.k.a Steve Nyerere wakiwa katika mkutano huo.
No comments:
Post a Comment