| Meneja mipango ya biashara, matukio na uhamasishaji wote wa kampuni ya Serengeti Breweries Limited
Bw. Denis Tairo akizungumza na wateja wa bia ya Serengeti Premium Lager wakati
wa uzinduzi kampeni ya tuzo ya dhahabu ya ubora wa thamani ya Monde Selection
kwa wakazi wa kanda ya ziwa jijini Mwanza ambapo bia ya Serengeti Premium Lager
ya SBL imetuzwa medali tatu za dhahabu kutoka kwenye viwanda vyake vyote
vitatu; cha Dar es salaam, Mwanza na Moshi kwa mwaka 2015. Uzinduzi huo ulifanyika
katika baa ya “The dreams” iliyopo Kona ya Bwiru jijini Mwanza. |
No comments:
Post a Comment