Ni jambo la kufurahisha
kutoka kwa baadhi ya mastaa wa kike hapa Tanzania ambao wameamua
kujichukulia maamuzi ya kupata kopi zao mapema 2015 kwa kujifungua
watoto, chanzo chetu kimebain idadi yao miezi michache tangu tuanze
mwaka 2015.
Katika listi ya haraka
tumebaini kuwa miongoni kati ya wasanii waliojifungua 2015 miezi kadha
iliyopita ni pamoja na Zamaradi Mketema, Snura Mush, Hamisa Mobeto,
Mboni Masimba, Aunt Ezekiel, Flara Mvungi, Flora Mbasha nk.
Hongereni kwa maamuzi yenu
mazuri ya kutuletea vijana ambao tunategemea nawao waje kuwa mastaa hapo
baadaye kama ninyi mlivyo na zaidi, pia hongera na kwako shabiki wa
unayependa kutembelea tovuti hii!
No comments:
Post a Comment