21 May 2015

MZEE WA UPAKO KUMBE NI MSHIRIKINA MZURI AFUNGUKA HAPA,PATA


MCHUNGAJI Kiongozi wa Kanisa la Maombezi GRC, Lusekelo Antony ‘Mzee wa Upako’ amekiri kushirikiana na waganga wa kienyeji kujipatia pesa kwa njia ya utapeli wakati akifanya biashara ya madini ya rubi.
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Maombezi GRC, Lusekelo Antony ‘Mzee wa Upako’.
Akizungumza katika ibada maalum hivi karibuni kanisani kwake Ubungo Kibangu jijini Dar,
Lusekelo alisema utapeli huo aliufanya sehemu mbalimbali ikiwemo mkoani Dodoma kwa kuhusisha sangoma hao ambapo walikuwa wakimtaka mteja kuwapatia pesa huku wakimuelekeza mahali madini hayo yanapopatikana.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname