21 May 2015

Nilibahatika kwenda ‘dressing room’ ya Madagascar, Ila kiukweli kocha wetu ni Bomu kupita Bomu”-Hajji Manara


IMG-20150521-WA0002
Msemaji wa Simba ambaye ameambatana na Taifa Stars Afrika kusini, Hajji Sunday Manara anasema: “Nilibahatika kwenda ‘dressing room’ ya team ya Madagascar, kuwapongeza na walifurahi sana kupiga picha na Mtanzania hata baada ya kutufunga.
“Ila kiukweli kocha wetu ni Bomu kupita Bomu. Nikirudi Bongo nitaongoza kampeni ya kitaifa kumuondoa”.
Hajji Manara (kulia)
“Sikutegemea hata baada ya kufungwa mbili angeweza kufanya sub ya hovyo namna ile.Maana hatukuwa na cha kupoteza tena. Hakupaswa kuingiza defender na kumtoa kiungo wa ushambuliaji. Yaani kocha ni Bomu kupita kiasi
“Amechukua wachezaji ambao hata kwenye team zao hawapati namba. Bocco nitajieni kacheza game ngapi za Azam?

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname