MASIKINI BINTI AFARIKI DUNIA BAADA YA POWERBANK KUMLIPUKIA AKIWA USINGIZINI
Ni huzuni binti mmoja
afariki dunia baada ya kulipukiwa na power bank akiwa amelala ambayo
alikuwa ameiweka katika chaji na umeme ulikuwa umekatika na baada ya
umeme kurudi ukaleta majangazi na kupatwa na umauti tuwe makini na
kuchat au kuweka karibu vitu vya umeme na miili yetu .
No comments:
Post a Comment