21 April 2015

ZITTO AIFUNIKA MUSOMA-PICHA ZIKO HAPA

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe akiwasili kwenye Viwanja vya Shule mjini Musoma mkoani Mara jana kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara wa chama.

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe akiwahutubia wananchi wa Musoma kwenye Viwanja vya Shule mkoani Mara jana.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname