Staa
wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, akiwa na mpenzi wake
Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady.
Hasira
ya kibuti? Ubuyu kutoka nyumba ya jirani, Kampala nchini Uganda
unaeleza kuwa mwanaume Farouk Sempala aliyewahi kuwa mpenzi wa mwandani
wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan
‘Zari The Boss Lady’ ameibuka na madai mazito kuwa mwanamama huyo
alichoropoa mimba zake zaidi ya mbili.
TUJIUNGE UGANDA
Katika mahojiano maalum na Gazeti la Red Pepper la nchini humo hivi karibuni, Sempala alifunguka kuwa alishtushwa na habari kuwa mwanadada huyo alikutana na Diamond kwenye ndege na kuanza projekti ambayo matokeo yake ni mimba.
BOFYA KUSOMA ZAIDI>>
Katika mahojiano maalum na Gazeti la Red Pepper la nchini humo hivi karibuni, Sempala alifunguka kuwa alishtushwa na habari kuwa mwanadada huyo alikutana na Diamond kwenye ndege na kuanza projekti ambayo matokeo yake ni mimba.
BOFYA KUSOMA ZAIDI>>
No comments:
Post a Comment