13 March 2015

Majambazi wapora pesa kwenye ATM ya CRDB kwa Nyerere, Mikocheni


Watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wamewapora Askari waliokuwa wanaweka hela (LOAD) kwenye ATM hiyo iliypo kwenye Makutano ya Barabara ya Mwai Kibaki na Garden, wamechukua hela zote na kutokomea.

Name:  Screenshot_2015-03-12-19-58-31-1.png
Views: 0
Size:  478.4 KB

Majambazi wakiwa wanasimamia zoezi zima la ulinzi wakati wenzao wawili wakipora pesa

Name:  Screenshot_2015-03-12-20-00-40-1.png
Views: 0
Size:  538.0 KB

Hapa wakitokomea kwa usafiri wa Pikipiki maarufu kama Boxer. Jumla walikuwa wanne wakiwa na pikipiki mbili

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname